Jumamosi, 31 Agosti 2024

MATOKEO YA MECHI YA SIMBA SC VS AL HILAL FC

 Klabu ya Simba leo Agosti 31 imecheza mechi yake ya kirafiki ya kimataifa na Klabu ya Al Hilal ya nchini Sudani na kutoshana nguvu kwa sare bao 1-1. Mchezo huo ulichezwa majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Kmc Mwenge jijini Dare s-salaam.  Je, mchezo huu ni kipimo tosha kwa klabu ya Simba kuelekea mchezo wake wa kimataifa atakao cheza na Al Ahly Tripol ya nchini Libya?  Tupe maoni

Simba Sc 1-1 AlHilal Fc.

yako.

SIMBA SC YAIBANA MBAVU AL AHLY TRIPOLI

 Simba Sports Club imecheza mchezo wake wa kwaza katika kombe la shirikisho barani Afrika ikianzia ugenini, mwenyeji wake akiwa Al ahly Trip...